Darubini 2024
Sekta ya Uziduaji Upatikanaji wa Suluhisho: Changamoto za Watoa Msaada wa Kisheria Nchini Tanzania
Tanzania inajulikana kama taifa lenye utajiri mkubwa wa maliasili, hasa katika sekta ya ya uziduaji. Ahadi ya ustawi wa kiuchumi, imeunganishwa dhidi ya ukweli
dhahiri wa mapambano juu ya kupata suluhu hasa pale shughuli za uchimbaji wa rasilimali zinapoleta madhara kwa watu au mazingira. Kwa jamii zilizoathiriwa moja kwa moja na shughuli za uziduaji, kutafuta haki kunaweza kuhisiwa kama ni changamoto isiyoweza kutatuliwa. Makala hii inaangazia matatizo  yanayowakabili Watoa Msaada wa Kisheria nchini Tanzania wanapopitia sheria na sera tata zinazo ongoza na kutawala sekta ya uziduaji, kwa lengo la kutoa misaada ya kisheria kwa waathiriwa wa sekta ya uziduaji

Read the Briefing: https://www.hakirasilimali.or.tz/storage/wp-content/uploads/2024/03/DARUBINI-DECEMBER-FINAL-SWAHILI-VERSION.pdf
Themes
Darubini
Get This Resource
Publication Details
Year
2024
Published
January 19, 2024

Resource Type

publication

Related Resources

Darubini
Land Acquisition and Access to Remedies in Tanzania’s Extractive Sector: Gaps i...

Welcome to the tenth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on justice and human rights in natural resource governa...

Darubini
Access to Justice in Tanzania’s Mining Sector: Preparing for the Critical Minera...

Welcome to the Ninth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on Access to Justice in Tanzania’s Mining Sector: Prepa...

Darubini
Chinese Investment in Tanzania’s Small-Scale Mining: The Challenge of Technical...

Welcome to the Eighth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on Chinese Investment in Tanzania’s Small-Scale Mining...