Recent Tenders
Sekta ya uziduaji kwa muda mrefu imekuwa ni uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi wa nchi (Tanzania) ( Cloned )
Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema sekta ya uziduaji kwa muda mrefu imekuwa ni uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi wa nchi (Tanzania), kwa
Sekta ya uziduaji na nishati ni sekta muhimu kwa Taifa letu
Mkurugenzi wa Hakirasilimali Adam Anthony: "Sekta ya uziduaji na nishati ni sekta muhimu kwa Taifa letu. Uhusiano kati ya sekta ya madini na sekta ya nishati hasa katika muktadha wa madini ya kimkakati, nishati mpito
Mataifa makubwa duniani yanatusukuma sisi (mataifa yanayoendelea) kwenye nishati safi lakini haimaanishi tukimbilie huko bila kujipanga
Mwenyekiti wa Bodi ya Hakirasilimali Jimmy Luhende: "Mataifa makubwa duniani yanatusukuma sisi (mataifa yanayoendelea) kwenye nishati safi lakini haimaanishi tukimbilie huko bila kujipanga" Amesema ni muhimu kabla ya kwenda kuhakikisha watu wanajengewa uwezo kupitia njia
Sheria zetu zinataka kampuni za madini kufungua akaunti za benki hapa ndani (nchini)
Gerald Mturi "Sheria zetu zinataka kampuni za madini kufungua akaunti za benki hapa ndani (nchini) lakini ukweli ni kwamba benki zetu hazina uwezo wa kuhudumia" Anasema uamzi huo umesababisha changamoto ya upatikanaji wa mitaji kwa